Kanuni za Kutafsiri Biblia

View this course in other languages:
Maelezo ya kozi
Kozi hii inafundisha kuhusu kanuni na mbinu za kufasiri Biblia ipasavyo ili kuongoza maisha na uhusiano wetu na Mungu.
Malengo ya kozi
Malengo yameorodheshwa kwenye kila somo.
Mada za somo
Utangulizi wa Kutafsiri Maandiko
Uchunguzi: Kuutazama Mstari
Uchunguzi: Kuangalia Sehemu Kubwa
Tafsiri: Utangulizi
Tafsiri: Muktadha
Tafsiri: Aina za Fasihi
Tafsiri: Kujifunza Neno
Tafsiri: Kanuni za Jumla
Matumizi
Kufanyia kazi Kujifunza Kifungu