Familia ya Kikristo

查看本课程的其他语言版本:

Maelezo ya kozi

Kozi hii inatoa mtazamo wa Kikristo kuhusiana na maendeleo ya binadamu kupitia hatua mbalimbali za maisha na zinatumia kanuni za kimaandiko kwa ajili ya majukumu ya kifamilia na mahusiano.

Malengo ya kozi

Malengo yameorodheshwa mwanzoni mwa kila somo.

Mada za somo

Kuumbwa kwa ajili ya Mahusiano
Familia ya Kibiblia
Dhana ya Biblia kuhusu Ndoa
Masuala ya Kujamiiana
Useja
Maandalizi kwa ajili ya Ndoa
Kustawisha Ndoa iliyo Imara
Lugha Tano za Upendo – Sehemu ya 1
Lugha Tano za Upendo – Sehemu ya 2
Suala la Kutokuwa na Mtoto
Maendeleo na Utunzaji wa Mtoto
Kuwalea Watoto Kwa Makusudi
Mambo Yanayohusu Kulea Mtoto
Malezi wakati wa Ujana
Kijana Aliyekomaa

更多类似课程

返回所有 Kiswahili 课程

One-time signup

This information helps us better serve the global church.

报错: 未找到这个表单

By submitting your contact info, you agree to receive occasional email updates about this ministry.